Cristiano Ronaldo akishangilia baada ya kuifungia Ureno mabao yote, dakka za 45 na 72 katika ushindi wa 2-0 dhidi ya Sweden kwenye mchezo wa Kundi la Tatu Ligi ya Mataifa Ulaya usiku wa jana Uwanja wa Friends Arena Jijini Solna. Kwa mabao hayo, Ronaldo anakuwa mwanasoka wa pili wa kiume kuifungia nchi yake mabao 100, tangu afunge la kwanza kwenye fainali za Euro 2004 kwa kichwa dhidi ya Ugiriki. Gwiji wa Iran, Ali Daei ndiye anashikilia rekodi ya mabao ya 109 katika mechi 149 PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Namewee to be remanded over Taiwanese influencer Iris Hsieh’s death; Taiwan
seizes US$150m, detains 25 in Prince Group scam probe: SIngapore live news
-
Namewee wanted in Taiwan influencer Iris Hsieh’s death reclassified murder.
Taiwan seizes US$150 million Prince Group assets, 25 held in scam probe
tied to...
1 hour ago



.png)
0 comments:
Post a Comment