Cristiano Ronaldo akishangilia baada ya kuifungia Ureno mabao yote, dakka za 45 na 72 katika ushindi wa 2-0 dhidi ya Sweden kwenye mchezo wa Kundi la Tatu Ligi ya Mataifa Ulaya usiku wa jana Uwanja wa Friends Arena Jijini Solna. Kwa mabao hayo, Ronaldo anakuwa mwanasoka wa pili wa kiume kuifungia nchi yake mabao 100, tangu afunge la kwanza kwenye fainali za Euro 2004 kwa kichwa dhidi ya Ugiriki. Gwiji wa Iran, Ali Daei ndiye anashikilia rekodi ya mabao ya 109 katika mechi 149 PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Star NFL rookie reveals surprising way he plans to spend his
record-breaking $53m first contract
-
The highly-rated Love was selected No. 3 overall by the Cardinals out of
Notre Dame in last month's NFL Draft and on Friday he formally signed his
four-yea...
7 minutes ago



.png)
0 comments:
Post a Comment