KAPTENI WA TAIFA STARS MBWANA SAMATTA ALIVYOWAONGOZA WACHEZAJI WENZAKE MAZOEZINI LEO
Mshambuliaji wa Fenerbahce ya Uturuki na Nahodha wa Tanzania, Mbwana Ally Samatta akiwaongoza wachezaji wenzake mazoezini Uwanja wa Benjamin Mkapa leo asubuhi kujiandaa na mchezo wa kirafiki dhidi ya Burundi Jumapili
Beki wa Yanga SC, Bakari Nondo Mwamnyeto akiwa mazoezini Taifa Stars kujiandaa kuwakamili Int'hamba Murugamba
Kipa wa Yanga SC, Netacha Mnata (kulia) akiwa mazoezini Taifa Stars leo asubuhi Uwanja wa Benjamin Mkapa
Anthony Joshua’s fight in Nigeria pegged for 2026
-
Former world boxing heavyweight champion, Anthony Joshua’s career-long
dream to host a match in Nigeria is closer to reality as boxing promoter
Ezekiel A...
0 comments:
Post a Comment