KIUNGO mshambuliaji wa Yanga SC, Edibily Jonas Lunyamila (kulia) akitafuta maarifa ya kumpita beki wa Simba SC, Mathias Mulumba katika mchezo wa Kombe La Hedex Juni 30, mwaka 1996 Uwanja wa CCM Kirumba mjini Mwanza. Yanga ilishinda 2-0, mabao ya Bakari Malima ‘Jembe Ulaya’ na Lunyamila aliyekuwa anacheza mechi hiyo akitokea Ujerumani ambako alikwenda kufanya majaribio ya kucheza soka ya kulipwa
New footage reveals the moments before football manager collapsed and died
mid-match, leaving his players in disbelief, as it emerges he 'complained
about fish he had eaten' hours before
-
Mladen Zizovic, 44, collapsed on the side of the pitch 22 minutes into
Radnicki 1923's match against Mladost on Sunday evening, and later passed
away after...
54 minutes ago



.png)
0 comments:
Post a Comment