• HABARI MPYA

    Sunday, August 11, 2024

    SIMBA SC WASHINDI WA TATU NGAO YA JAMII, COASTAL YAFA 1-0


    BAO la Saleh Karabaka Kikuya dakika ya 11 limeipa Simba SC ushindi wa 1-0 dhidi ya Coastal Union katika mchezo wa kuwania nafasi ya tatu kwenye michuano ya Ngao ya Jamii leo Uwanja wa Benjamin Mkapa Jijini Dar es Salaam.
    • Blogger Comments
    • Facebook Comments

    0 comments:

    Item Reviewed: SIMBA SC WASHINDI WA TATU NGAO YA JAMII, COASTAL YAFA 1-0 Rating: 5 Reviewed By: Mahmoud Bin Zubeiry
    Scroll to Top