MWANASOKA bora wa zamani duniani, Ronaldinho Gaucho(pichani) mwenye
umri wa miaka 32 amehama klabu ya Flamengo ya Brazil kutokana na kutolipwa
mishahara, na anahamia Atletico ya Mineiro .
Nyota huyo wa zamani wa Barcelona na AC Milan, Ronaldinho
amekubali kwenda Belo Horizonte kujiunga na Atletico Mineiro.
|
Alexandre Loureiro - VIPCOMM
0 comments:
Post a Comment