• HABARI MPYA

    Sunday, June 03, 2012

    RONALDO GUNDU LAANZA MAPEMAAA, AKOSA PENALTI URENO IKIPIGWA 3-1 NYUMBANI


    Football | Uefa Euro 2012TM


    URENO ilipoteza nafasi kibao, ikiwemo Cristiano Ronaldo (pichani juu kushoto) kukosa penalti, katika mchezo ambao walitandikwa mabao 3-1 nyumbani na Uturuki jana, kujiandaa na Fainali za Kombe la Mataifa ya Ulaya, Euro 2012.
    Kipigo hicho kinamaanisha kwamba, Ureno itaingia kwenye Euro 2012 baada ya kucheza mechi tatu bila kushinda hata moja. Pia walitoka sare ya 0-0 na Macedonia wiki iliyopita na wakatoka sare na wenyeji washirika wa Euro, Poland mwezi Februari. Ureno wapo Kundi B pamoja na timu kali tupu, Ujerumani, Uholanzi na Denmark.






    • Blogger Comments
    • Facebook Comments

    0 comments:

    Item Reviewed: RONALDO GUNDU LAANZA MAPEMAAA, AKOSA PENALTI URENO IKIPIGWA 3-1 NYUMBANI Rating: 5 Reviewed By: Mahmoud Bin Zubeiry
    Scroll to Top