• HABARI MPYA

    Monday, December 02, 2013

    BARCELONA BILA MESSI NI YA KUJICHAPIA TU...NEYMAR BADO MTEKE

    KLABU ya Barcelona imepoteza mechi ya pili mfululizo ikicheza bila nyota wake Lionel Messi aliye majeruhi, baada ya kufungwa na Athletic Bilbao 1-0 jana Uwanja wa San Mames, bao pekee la Iker Muniain dakika ya 70. 
    Neymar alitarajiwa kwa mara nyingine kuziba vyema pengo la Messi katika ufungaji, lakini hakufanya lolote kutokana na kuchezewa kindava na mabeki wa Bilbao. 

    Neymar ameshindwa kuziba pengo la Lionel Messi
    Down and dejected: Barca forward Neymar does little to hide his frustration after a heavy challenge
    Mshambuliaji wa Barca, Neymar alikuwa anachezewa rafu sana jana
    Time to celebrate: Athletic Bilbao were en route to a big victory thanks to Iker Muniain's (second left) goal
    Athletic Bilbao wakishangilia bao lao lililofungwa na Iker Muniain (wa pili kushoto)
    • Blogger Comments
    • Facebook Comments

    0 comments:

    Item Reviewed: BARCELONA BILA MESSI NI YA KUJICHAPIA TU...NEYMAR BADO MTEKE Rating: 5 Reviewed By: Mahmoud Bin Zubeiry
    Scroll to Top