Na Mwandishi Wetu, JOHANNESBURG
TIMU mpya ya Mrisho Khalfan Ngassa, Free State Stars imetoa mfungaji bora wa Ligi Kuu ya Afrika Kusini, ambaye ni Moeketsi Sekola. Ngassa amejiunga na FS mwezi huu kama mchezaji huru, akitokea Yanga SC ya nyumbani kwao, Tanzania.
Lakini ni beki wa Kaizer Chiefs, Tefu Mashamaite aliyefunika katika tuzo za msimu Ligi Kuu ya Afrika Kusini, maarufu kama PSL katika sherehe zilizofanyika ukumbi wa Sandton Convention Centre mjini Johannesburg, Afrika Kusini usiku wa jana.
Mashamaite ameshinda tuzo tatu kati ya nne alizokuwa anawania, huko kocha wa zamani wa Yanga SC, Mserbia Kostadin Papic anayeifundisha Polokwane City FC akitoka kapa.
Beki wa ‘The Amakhosi’ aliondoka na tuzo za Mwanasoka Bora wa msimu wa 2014/2015, Mchezaji Bora wa Ligi Kuu ya ABSA wa Msimu na beki bora wa Ligi Kuu wa msimu ya ABSA. Kwa ujumla, Mashamaite ameondoka na kitita cha randi 450 000.
Kiungo wa Mamelodi Sundowns, Teko Modise ameshinda tuzo ya kiungo bora wa msimu akiondoka na Randi 50, 000 na akapata pia Randi 150,000 kwa kuwa mchezaji bora wa Kombe la Nedbank.
Mchezaji wa SuperSport United, Dove Wome ameshinda tuzo ya Mchezaji Bora wa mashindano ya mtoano ya Telkom na kupata Randi 200,000, wakati George Maluleka wa while Kaizer Chief ameshinda tuzo ya MTN8 na kupata Randi 80,000.
WASHINDI WA TUZO ZA MSIMU AFRIKA KUSINI
MCHEZAJI BORA WA MSIMU: Randi 250, 000
Tefu Mashamaite (Kaizer Chiefs) – MSHINDI
TUZO YA MWENYEKITI
Botha Smila
LIGI KUU YA ABSA
Mchezaji Bora wa Msimu – Randi 150, 000
Tefu Mashamaite (Kaizer Chiefs) – MSHINDI
(Pamoja na Randi 10,000 iwapo mshindi ana akaunti katika benki ya ABSA)
Kipa Bora wa Msimu Ligi Kuu ya ABSA– Randi 50,000
Moeneeb Joseph (Bidvest Wits) - MSHINDI
(Pamoja na Randi 10,000 iwapo mshindi ana akaunti katika benki ya ABSA)
Beki Bora wa Msimu Ligi Kuu ya ABSA– R50 000
Tefu Mashamaite (Kaizer Chiefs) - MSHINDI
(Pamoja na Randi 10,000 iwapo mshindi ana akaunti katika benki ya ABSA)
Kiungo Bora wa Msimu Ligi Kuu ya ABSA – Randi 50,000
Teko Modise (Mamelodi Sundowns) - MSHINDI
(Pamoja na Randi 10,000 iwapo mshindi ana akaunti katika benki ya ABSA)
Mchezaji Bora Chipukizi wa Ligi Kuu ya ABSA– Randi 50,000
Phumlani Ntshangase (Bidvest Wits) - MSHINDI
(Pamoja na Randi 10,000 iwapo mshindi ana akaunti katika benki ya ABSA)
Kocha Bora wa Msimu wa Ligi Kuu ya ABSA – Randi 75,000
Stuart Baxter (Kaizer Chiefs) – MSHINDI
(Pamoja na Randi 10,000 iwapo mshindi ana akaunti katika benki ya ABSA)
Bao Bora la Msimu Kuu ya ABSA– Randi 50 000
Menzi Masuku (Orlando Pirates) – MSHINDI
(Mechi namba 54, Orlando Pirates vs SuperSport United –Aprili 29, mwaka 2015)
(Pamoja na Randi 10,000 iwapo mshindi ana akaunti katika benki ya ABSA)
Mfungaji Bora wa Ligi Kuu ya ABSA– Randi 25 000
Moeketsi Sekola (Free State Stars)
(Pamoja na Randi 10,000 iwapo mshindi ana akaunti katika benki ya ABSA)
KOMBE LA NEDBANK
Mchezaji Bora wa Kombe la Nedbank: Randi 150, 000
Teko Modise (Mamelodi Sundowns) - MSHINDI
Mchezaji Bora Anayechipukia Kombe la Nedbank: Randi 50,000
Tashreeq Morris (Ajax Cape Town) – MSHINDI
MICHUANO YA MTOANO YA TELKOM
Mchezaji Bora wa Telkom: Randi 200,000
Dove Wome (SuperSport United) – MSHINDI
Michuano ya MTN8
Mchezaji Bora wa MTN8: Randi 80,000
George Maluleka (Kaizer Chiefs) – MSHINDI
LIGI YA TAIFA DARAJA LA KWANZA
Mfungaji bora wa Msimu: Randi 50,000
Phumelele Bhengu (Thanda Royal Zulu)
MICHUANO YA MULTICHOICE DISKI;
Mchezaji Bora wa mashindano
Dikgang Ngcobo
TUZO ZA MAREFA:
Refa Bora wa Msimu: Randi 50,000
Shumani Phillip Tinyani – MSHINDI
Mshika Kibendera Bora wa Msimu: Randi 40,000
Peter Chauke – MSHINDI
TIMU mpya ya Mrisho Khalfan Ngassa, Free State Stars imetoa mfungaji bora wa Ligi Kuu ya Afrika Kusini, ambaye ni Moeketsi Sekola. Ngassa amejiunga na FS mwezi huu kama mchezaji huru, akitokea Yanga SC ya nyumbani kwao, Tanzania.
Lakini ni beki wa Kaizer Chiefs, Tefu Mashamaite aliyefunika katika tuzo za msimu Ligi Kuu ya Afrika Kusini, maarufu kama PSL katika sherehe zilizofanyika ukumbi wa Sandton Convention Centre mjini Johannesburg, Afrika Kusini usiku wa jana.
Mashamaite ameshinda tuzo tatu kati ya nne alizokuwa anawania, huko kocha wa zamani wa Yanga SC, Mserbia Kostadin Papic anayeifundisha Polokwane City FC akitoka kapa.
![]() |
| Mrisho Ngassa kushoto amejiunga na Free State Stars ambayo imetoa mfungaji bora wa Ligi Kuu ya Afrika Kusini |
Beki wa ‘The Amakhosi’ aliondoka na tuzo za Mwanasoka Bora wa msimu wa 2014/2015, Mchezaji Bora wa Ligi Kuu ya ABSA wa Msimu na beki bora wa Ligi Kuu wa msimu ya ABSA. Kwa ujumla, Mashamaite ameondoka na kitita cha randi 450 000.
Kiungo wa Mamelodi Sundowns, Teko Modise ameshinda tuzo ya kiungo bora wa msimu akiondoka na Randi 50, 000 na akapata pia Randi 150,000 kwa kuwa mchezaji bora wa Kombe la Nedbank.
Mchezaji wa SuperSport United, Dove Wome ameshinda tuzo ya Mchezaji Bora wa mashindano ya mtoano ya Telkom na kupata Randi 200,000, wakati George Maluleka wa while Kaizer Chief ameshinda tuzo ya MTN8 na kupata Randi 80,000.
![]() |
| Moeketsi Sekola wa Free State Stars ndiye mkali wa mabao Afrika Kusini |
WASHINDI WA TUZO ZA MSIMU AFRIKA KUSINI
MCHEZAJI BORA WA MSIMU: Randi 250, 000
Tefu Mashamaite (Kaizer Chiefs) – MSHINDI
TUZO YA MWENYEKITI
Botha Smila
LIGI KUU YA ABSA
Mchezaji Bora wa Msimu – Randi 150, 000
Tefu Mashamaite (Kaizer Chiefs) – MSHINDI
(Pamoja na Randi 10,000 iwapo mshindi ana akaunti katika benki ya ABSA)
Kipa Bora wa Msimu Ligi Kuu ya ABSA– Randi 50,000
Moeneeb Joseph (Bidvest Wits) - MSHINDI
(Pamoja na Randi 10,000 iwapo mshindi ana akaunti katika benki ya ABSA)
Beki Bora wa Msimu Ligi Kuu ya ABSA– R50 000
Tefu Mashamaite (Kaizer Chiefs) - MSHINDI
(Pamoja na Randi 10,000 iwapo mshindi ana akaunti katika benki ya ABSA)
Kiungo Bora wa Msimu Ligi Kuu ya ABSA – Randi 50,000
Teko Modise (Mamelodi Sundowns) - MSHINDI
(Pamoja na Randi 10,000 iwapo mshindi ana akaunti katika benki ya ABSA)
Mchezaji Bora Chipukizi wa Ligi Kuu ya ABSA– Randi 50,000
Phumlani Ntshangase (Bidvest Wits) - MSHINDI
(Pamoja na Randi 10,000 iwapo mshindi ana akaunti katika benki ya ABSA)
Kocha Bora wa Msimu wa Ligi Kuu ya ABSA – Randi 75,000
Stuart Baxter (Kaizer Chiefs) – MSHINDI
(Pamoja na Randi 10,000 iwapo mshindi ana akaunti katika benki ya ABSA)
Bao Bora la Msimu Kuu ya ABSA– Randi 50 000
Menzi Masuku (Orlando Pirates) – MSHINDI
(Mechi namba 54, Orlando Pirates vs SuperSport United –Aprili 29, mwaka 2015)
(Pamoja na Randi 10,000 iwapo mshindi ana akaunti katika benki ya ABSA)
Mfungaji Bora wa Ligi Kuu ya ABSA– Randi 25 000
Moeketsi Sekola (Free State Stars)
(Pamoja na Randi 10,000 iwapo mshindi ana akaunti katika benki ya ABSA)
| Beki wa Kaizer Chiefs, Tefu Mashamaite (kulia) akipokea tuzo yake usiku wa jana kutoka kwa mwanasoka wa zamani wa kimataifa wa Afrika Kusini, Lucas Radebe (kushoto) |
KOMBE LA NEDBANK
Mchezaji Bora wa Kombe la Nedbank: Randi 150, 000
Teko Modise (Mamelodi Sundowns) - MSHINDI
Mchezaji Bora Anayechipukia Kombe la Nedbank: Randi 50,000
Tashreeq Morris (Ajax Cape Town) – MSHINDI
MICHUANO YA MTOANO YA TELKOM
Mchezaji Bora wa Telkom: Randi 200,000
Dove Wome (SuperSport United) – MSHINDI
Michuano ya MTN8
Mchezaji Bora wa MTN8: Randi 80,000
George Maluleka (Kaizer Chiefs) – MSHINDI
LIGI YA TAIFA DARAJA LA KWANZA
Mfungaji bora wa Msimu: Randi 50,000
Phumelele Bhengu (Thanda Royal Zulu)
MICHUANO YA MULTICHOICE DISKI;
Mchezaji Bora wa mashindano
Dikgang Ngcobo
TUZO ZA MAREFA:
Refa Bora wa Msimu: Randi 50,000
Shumani Phillip Tinyani – MSHINDI
Mshika Kibendera Bora wa Msimu: Randi 40,000
Peter Chauke – MSHINDI




.png)
0 comments:
Post a Comment