David Silva (kushoto) akishangilia na Raheem Sterling baada ya wote kuifungia Manchester City katika ushindi wa 8-1 dhidi ya Vietnam mjini Hanoi leo. Silva alifunga mabao mawili sawa na Sterling na mengine yalifungwa na Aleksander Kolarov mawili moja kwa penalti baada ya Sterling kuchezewa rafu, Rony Lopes na Jose Pozo wakati bao la kufutia machozi la wenyeji lilifungwa na Nguyen Van Quyet dakika za majeruhi PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Manchester City vs Brentford - Premier League LIVE: Citizens hoping to
close gap on league leaders Arsenal in title race
-
Follow Daily Mail Sport's live blog for the latest score, team news and
updates as Manchester City host Brentford at the Etihad in the Premier
League.
19 minutes ago



.png)
0 comments:
Post a Comment