Bondia Mfaransa, Nadjib Mohammedi akienda chini baada ya kuchapwa makonde na Mrusi, Sergey Kovalev katika pambano la Light Heavy mjini Las Vegas, Marekani usiku wa kuamkia leo. Mrusi huyo alitetea taji lake kwa ushindi wa Knockout (KO) raundi ya tatu. Na sasa atarejea nyumbani Moscow kujiandaa na pambano lake lijalo Novemba dhidi ya Jean Pascal, ambaye usiku wa jana alimpiga Yunieski Gonzalez kwa pointi ukumbi wa Mandalay Bay PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Newcastle vs Tottenham: Live score, team news and updates as Son Heung-min
waves goodbye after a decade in north London in a pre-season friendly
-
Follow Mail Sport's live blog for the latest score, team news and updates
as Newcastle take on Tottenham at the Seoul World Cup Stadium in a
pre-season fr...
12 minutes ago
0 comments:
Post a Comment