Wachezaji wa Wolfsburg wakisherehekea ushindi wa taji la Super la Ujerumani baada ya kuifunga Bayern Munich kwa penalti 5-4 kufuatia sare ya 1-1, bao la Bayern likifungwa na Arjen Robben na Wolfsburg wakisawazisha kupitia kwa Nicklas Bendtner. Penalti za washindi zilifungwa na Rodriguez, De Bruyne, Schurrle, Kruse na Bendtner wakati za BayernSCORED - Vidal, Bayern zilifungwa na Alonso, Robben, Lahm na Costa huku Alonso akikosa. PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Lionel Messi makes more MLS history as fastest player to 100 goals and
assists
-
Lionel Messi moved his career MLS totals to 59 goals and 41 assists in
Inter Miami's win, becoming the fastest player ever to 100 goal
contributions.
9 minutes ago



.png)
0 comments:
Post a Comment