• HABARI MPYA

    Wednesday, November 04, 2015

    NGASSA ALIVYOWASILI KAMBI YA TAIFA STARS JO'BURG LEO

    Mshambuliaji wa Free State Stars ya Bethelehem, Afrika Kusini akiwasili katika kambi ya timu ya taifa ya Tanzania, Taifa Stars hoteli ya Holiday Inn eneo la Woodmead, Johannesburg, Afrika Kusini leo. Taifa Stars imeweka kambi hapo kujiandaa na mchezo dhidi ya Algeria kufuzu Kombe la Dunia mwaka 2018

    • Blogger Comments
    • Facebook Comments

    0 comments:

    Item Reviewed: NGASSA ALIVYOWASILI KAMBI YA TAIFA STARS JO'BURG LEO Rating: 5 Reviewed By: Mahmoud Bin Zubeiry
    Scroll to Top