Kipa wa Arsenal, Petr Cech akiwa amedaka mpira dhidi ya mshambuliaji wa Norwich, Lewis Grabban katika mchezo wa Ligi Kuu ya England jioni ya leo Uwanja wa Carrow Road.Timu hizo zimetoka 1-1, bao la Arsenal likifungwa na Mesut Ozil dakika ya 30, huku la Norwich likifungwa na Grabban dakika ya 43 PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Davies back to lead Wales for crucial qualifiers
-
Tottenham defender Ben Davies returns from injury to lead Wales in their
final World Cup qualifying games against Liechtenstein and North Macedonia,
but Aa...
40 minutes ago



.png)
0 comments:
Post a Comment