Kipa wa Arsenal, Petr Cech akiwa amedaka mpira dhidi ya mshambuliaji wa Norwich, Lewis Grabban katika mchezo wa Ligi Kuu ya England jioni ya leo Uwanja wa Carrow Road.Timu hizo zimetoka 1-1, bao la Arsenal likifungwa na Mesut Ozil dakika ya 30, huku la Norwich likifungwa na Grabban dakika ya 43 PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Punters denied fitting finale as cricket shoots itself in the foot - NASSER
HUSSAIN
-
NASSER HUSSAIN: I still can't shake the feeling that cricket shot itself in
the foot by playing by the rules. In situations like that, I just wish
there wa...
44 minutes ago
0 comments:
Post a Comment