Wabrazil Philippe Coutinho na Roberto Firmino wakishangilia baada ya wote kufunga mabao katika ushindi wa 4-1 wa Liverpool dhidi ya wenyeji Manchester City Uwanja wa Etihad usiku huu. Mabao mengine ya Liverpool yamefungwa na Eliaquim Mangala aliyejifunga na Martin Skrtel, wakati bao la kufutia machozi la City limefungwa na Sergio Aguero PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Star NFL rookie reveals surprising way he plans to spend his
record-breaking $53m first contract
-
The highly-rated Love was selected No. 3 overall by the Cardinals out of
Notre Dame in last month's NFL Draft and on Friday he formally signed his
four-yea...
8 minutes ago



.png)
0 comments:
Post a Comment