Nahodha wa Sweden, Zlatan Ibrahimovic akiifungia timu yake bao la pili kwa mpira wa adhabu katika sare ya 2-2 na wenyeji Denmark leo. Ibrahimovic amefunga mabao yote ya Sweden ambayo imeshinda kwa jumla ya 4-3 baada ya ushindi wa 2-1 awali hivyo kufuzu Euro 2016 PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Daniel Levy hits back at his critics in rare interview as Tottenham chief
sends warning to his club's fans and reveals why he sacked Ange Postecoglou
and hired Thomas Frank
-
Just 16 days after leading Spurs to a Europa League triumph Postecoglou was
sacked, and replaced by long-time Brentford boss Thomas Frank.
1 hour ago
0 comments:
Post a Comment