Mshambuliaji wa Arsenal, Danny Welbeck akikimbia kushangilia baada ya kuifungia timu yake bao la kwanza katika ushindi wa 2-0 dhidi ya wenyeji, Everton Uwanja wa Goodison Park mjini Liverpool katika mchezo wa Ligi Kuu ya England jioni ya leo. Bao lingine la Arsenal limefungwa na Alex Iwobi PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Man United £72m flop Rasmus Hojlund 'targeted by TWO Serie A giants' this
summer after struggles under Ruben Amorim
-
Hojlund, 22, has struggled since moving to Old Trafford from Atalanta in
2023 for £72million and scored just four goals in 32 Premier League games
in 2024-25.
46 minutes ago
0 comments:
Post a Comment