Mshambuliaji wa kimataifa wa Nigeria, Kelechi Iheanacho akiifungia Manchester City bao la kusawazisha dakika ya 55 katika sare ya 1-1 na Southampton kwenye mchezo wa Ligi Kuu ya England jioni ya leo Uwanja wa Etihad. Bao la Southampton lilifungwa na Nathan Redmond dakika ya 27 PICHA ZAIDI GONGA HAPA
CCTV appeal after man stabbed in suspected robbery
-
A 40-year-old man was seriously injured and taken to hospital following the
attack on Thursday night.
13 minutes ago



.png)
0 comments:
Post a Comment