Roberto Firmino (kulia) akishangilia na Philippe Coutinho na Sadio Mane baada ya kuifungia Liverpool bao la nne katika ushindi wa 4-2 dhidi ya wenyeji Crystal Palace kwenye mchezo wa Ligi Kuu ya England Uwanja wa Selhurst Park, London. Mabao mengine ya Liverpool yalifungwa na Emre Can, Dejan Lovren na Joel Matip wakati ya Palace yalifungwa na James McArthur yote PICHA AZAIDI GONGA HAPA
England may play two games away from Wembley at Euro 2028
-
Euro 2028 co-hosts England face playing one group match and a possible
last-16 game away from Wembley.
42 minutes ago



.png)
0 comments:
Post a Comment