Mshambuliaji wa Liverpool, Daniel Sturridge akiifungia bao la kwanza timu yake kwa kichwa dakika ya 19 katika sare ya 2-2 na wenyeji, Sunderland Uwanja wa Light usiku wa jana. Bao lingine la Liverpool lilifungwa na Sadio Mane dakika ya 72, wakati ya Sunderland yote yalifungwa na Jermain Defoe kwa penalti dakika ya 25 na 84 PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Peace in Niger Delta boosts oil, gas revenue – FIRS boss
-
Says military critical to meeting 2025 tax target From Adanna Nnamani,
Abuja The Federal Inland Revenue Service (FIRS) chairman, Dr Zacch Adedeji,
has sa...
37 minutes ago
0 comments:
Post a Comment