Kiungo wa Manchester United, Juan Mata akikimbia kushangilia baada ya kuifungia timu yake bao la kwanza dakika ya 63 katika ushindi wa 2-0 dhidi ya wenyeji, West Ham United jana Uwanja wa London. Bao la pili la Man United lilifungwa na Zlatan-Ibrahimovic dakika ya 78 katika mchezo ambao Sofiane Feghouli wa West Ham alitolewa kwa kadi nyekundu kwa kumchezea rafu ya kawaida Phil Jones iliyostahili hata kadi ya njano PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Zelenskyy to visit Berlin for meetings ahead of Trump-Putin summit
-
BERLIN (AP) — Ukrainian President Volodymyr Zelenskyy will visit Berlin on
Wednesday to join German Chancellor Friedrich Merz for talks with European
and U...
39 minutes ago
0 comments:
Post a Comment