Mwanasoka Bora wa Dunia, Cristiano Ronaldo akishangilia baada ya kuifungia Real Madrid mabao yote matatu dakika za 10, 73 na 86 katika ushindi wa 3-0 dhidi ya Atletico Madrid usiku wa Jumanne Uwanja wa Santiago Bernabeu mjini Madrid kwenye Nusu Fainali ya kwanza ya Ligi ya Mabingwa Ulaya. Hiyo inakuwa hat trick ya has 42 kwa Ronaldo Real Madrid na ya 47 kwa ujumla, wakati timu hizo zitarudiana Mei 10 Uwanja wa Vicente Calderon, Madrid PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Daniel Dubois becomes two-time heavyweight champion in bloody Battle of
Britain as referee stops fight in 11th round after brave Fabio Wardley is
left with battered eyes and nose
-
JEFF POWELL: Daniel Dubois rose from the canvas twice to become a two-time
heavyweight world champion after defeating Fabio Wardley in a brutal
all-British...
8 minutes ago



.png)
0 comments:
Post a Comment