Mwanasoka Bora wa Dunia, Cristiano Ronaldo akishangilia baada ya kuifungia Real Madrid mabao yote matatu dakika za 10, 73 na 86 katika ushindi wa 3-0 dhidi ya Atletico Madrid usiku wa Jumanne Uwanja wa Santiago Bernabeu mjini Madrid kwenye Nusu Fainali ya kwanza ya Ligi ya Mabingwa Ulaya. Hiyo inakuwa hat trick ya has 42 kwa Ronaldo Real Madrid na ya 47 kwa ujumla, wakati timu hizo zitarudiana Mei 10 Uwanja wa Vicente Calderon, Madrid PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Carlos Alcaraz sends Wimbledon warning to rivals with Queen's triumph - as
French Open champion downs Jiri Lehecka ahead of bidding for a third
straight title at the All England Club
-
LEWIS STEELE AT QUEEN'S: The Spaniard sent out a thumping message to rivals
that he could soon be the first man to win three Wimbledon titles in a row
sinc...
50 minutes ago
0 comments:
Post a Comment