Neymar akiwa amebewa mabegani na Paulinho baada ya mshambuliaji huyo kuifungia Brazil bao la kwanza dakika ya 51 katika ushindi wa 2-0 dhidi ya Mexico leo kwenye mchezo wa hatua ya 16 Bora Kombe la Dunia Uwanja wa Samara Arena nchini Urusi. Bao lingine la Brazil limefungwa na Roberto Firmino dakika ya 88 na sasa watakutana na mshindi kati ya Ubelgiji na Japan kwenye Robo Fainali PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Wafer and McMahon fit for Ireland World Cup squad
-
Key back row forwards Aoife Wafer and Edel McMahon are both included in
Ireland's squad for this month's Women's Rugby World Cup despite recent
injuries.
1 hour ago
0 comments:
Post a Comment