Alvaro Morata akishangilia baada ya kuifungia Chelsea bao la kwanza dakika ya 32 katika ushindi wa 3-1 dhidi ya Crystal Palace kwenye mchezo wa Ligi Kuu ya England leo Uwanja wa Stamford Bridge mjini London leo. Morata pia alifunga bao la pili dakika ya 65 kabla ya Mspaniola mwenzake, Pedro kufunga la tatu dakika ya 70, wakati bao la Palace limefungwa na Andros Townsend dakika ya 53 PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Sun MD, Ukeh, elected NGE General Secretary
-
From Jude Chinedu, Enugu The Managing Director of The Sun newspaper, Onuoha
Ukeh, has been elected General Secretary of the Nigerian Guild of Editors
(NG...
1 hour ago
0 comments:
Post a Comment