Mohamed Salah akishangilia baada ya kuifungia Liverpool bao la kwanza dakika ya 67 katika ushindi wa 3-0 dhidi ya wenyeji, Watford kwenye mchezo wa Ligi Kuu ya England leo Uwanja wa Vicarage Road. Mabao mengine ya Liverpool yamefungwa na Trent Alexander-Arnold dakika ya 76 na Roberto Firmino dakika ya 89 PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Former college and NFL coach Derek Dooley joins Senate race in Georgia
-
A former college and NFL coach has announced a shock move into politics as
he joined the Senate race in Georgia. He was previously the head coach of
the Un...
41 minutes ago
0 comments:
Post a Comment