Mohamed Salah akishangilia baada ya kuifungia Liverpool bao la kwanza dakika ya 67 katika ushindi wa 3-0 dhidi ya wenyeji, Watford kwenye mchezo wa Ligi Kuu ya England leo Uwanja wa Vicarage Road. Mabao mengine ya Liverpool yamefungwa na Trent Alexander-Arnold dakika ya 76 na Roberto Firmino dakika ya 89 PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Revealed: What Tottenham star Djed Spence REALLY said to manager Thomas
Frank is uncovered by expert lip-reader in furious spat after defeat by
Chelsea
-
Spence and Micky van de Ven stole the headlines when they blanked Frank,
refusing his handshake and leaving him alone on the turf. A worrying sign,
as Oliv...
1 hour ago



.png)
0 comments:
Post a Comment