Mshambuliaji wa Tottenham Hotspur, Son Heung-min akimtoka beki wa Chelsea, David Luiz jana katika mchezo wa Ligi Kuu ya England Uwanja wa Wembley. Spurs ilishinda 3-1 mabao yake yakifungwa na Kipindi cha pili, Delle Alli dakika ya nane, Harry Kane dakika ya 16 na Heung-Min mwenyewe dakika ya 54, wakati la Chelsea lilifungwa na Olivier Giroud dakika ya 85 PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Rio Ngumoha, 16, scores stunning goal two minutes into Anfield debut as
Liverpool teenager continues eye-catching pre-season
-
Liverpool youngster Rio Ngumoha maintained his impressive pre-season form
by opening the scoring within two minutes of his Anfield debut.
21 minutes ago
0 comments:
Post a Comment