Mshambuliaji wa Tottenham Hotspur, Son Heung-min akimtoka beki wa Chelsea, David Luiz jana katika mchezo wa Ligi Kuu ya England Uwanja wa Wembley. Spurs ilishinda 3-1 mabao yake yakifungwa na Kipindi cha pili, Delle Alli dakika ya nane, Harry Kane dakika ya 16 na Heung-Min mwenyewe dakika ya 54, wakati la Chelsea lilifungwa na Olivier Giroud dakika ya 85 PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Who do fans think is the key player in each Premier League team?
-
From the "soul of the team" to an "absolute warrior", here are the Premier
League's 20 key players, as chosen by our fan writers.
41 minutes ago



.png)
0 comments:
Post a Comment