Kiungo Mfaransa mwenye asili ya Mali, N’Golo Kante akionyesha dole gumba kwa furaha ya kusaini mkataba mpya wa miaka mitano kuendelea kuichezea Chelsea hadi mwaka 2023 kwa mshahara wa Pauni 290,000 kwa wiki na kuwakatisha tamaa Paris Saint-Germain waliokuwa wanamtaka mchezaji huyo mwenye umri wa miaka 27 PICHA ZAIDI GONGA HAPA
FCT police investigate death of woman found bound, unconscious in Gwarinpa
hotel room
-
From Juliana Taiwo-Obalonye, Abuja The Federal Capital Territory (FCT)
Police Command has opened a full investigation into the circumstances
surrounding ...
1 hour ago
0 comments:
Post a Comment