Kiungo Mfaransa mwenye asili ya Mali, N’Golo Kante akionyesha dole gumba kwa furaha ya kusaini mkataba mpya wa miaka mitano kuendelea kuichezea Chelsea hadi mwaka 2023 kwa mshahara wa Pauni 290,000 kwa wiki na kuwakatisha tamaa Paris Saint-Germain waliokuwa wanamtaka mchezaji huyo mwenye umri wa miaka 27 PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Punters denied fitting finale as cricket shoots itself in the foot - NASSER
HUSSAIN
-
NASSER HUSSAIN: I still can't shake the feeling that cricket shot itself in
the foot by playing by the rules. In situations like that, I just wish
there wa...
44 minutes ago
0 comments:
Post a Comment