Alexis Sanchez akishangilia baada ya kuifungia Chile bao la tatu dakika ya 61 katika ushindi wa 4-1 dhidi ya Honduras usiku wa jana Uwanja wa Manispaaa ya Bicentenario German Becker mjini Temuco. Mabao mengine ya Chile yalifungwa na Arturo Vidal dakika ya nane na 35 kwa penalti na Nicolas Castillo kwa penalti pia dakika ya 84, wakati la Honduras lilifungwa na Alexander Lopez dakika ya 40 PICHA ZAIDI GONGA HAPA 
Jake Paul's fight with Gervonta 'Tank' Davis cancelled amid domestic 
violence lawsuit
                      -
                    
Paul's 'Most Valuable Promotions' confirmed on Monday night that they are 
instead planning for the YouTuber-turned-boxer to headline another event on 
Nextf...
21 minutes ago



.png)
0 comments:
Post a Comment