Leroy Sane (kulia) akishangilia na Raheem Sterling baada ya wote kuifungia Manchester City katika ushindi wa 4-0 dhidi ya wenyeji, West Ham United leo Uwanja wa London kwenye mchezo wa Ligi Kuu ya England. Sane alifunga mabao mawili dakika za 34 na 94 na ushie na Sterling dakika ya 19, wakati bao lingine limefungwa na David Silva dakika ya 11 PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Patrick Mahomes wipes out cameraman with pass Travis Kelce failed to catch
in Chiefs' loss to Bills
-
An errant throw from Patrick Mahomes during Sunday's loss to the Buffalo
Bills bounced into a cameraman squatting in the end zone, and the result
was under...
1 hour ago



.png)
0 comments:
Post a Comment