Wachezaji wa timu ya soka ya taifa ya Tanzania, Taifa Stars wakiwa katika picha ya pamoja na Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam, Paul Makonda ambaye pia ni Mwenyekiti wa Kamati ya Kuisaidia timu hiyo baada ya kurejea kutoka Misri kwenye Fainali za Kombe la Mataifa ya Afrika (AFCON) ambako walitolewa kwenye Raundi ya kwanza tu kufuatia kushika mkia kwenye kundi lao, C kutokana na kufungwa mechi zote tatu, 2-0 na Senegal, 3-2 na Kenya na 3-0 na Algeria.
Neymar SUES Brazilian journalist who accused him of being 'addicted to
whiskey, energy drinks and late-night gaming sessions'... as injury-plagued
star responds to wild claims with cryptic social media post
-
Neymar is taking legal action after being accused of an 'addiction to
whisky and energy drinks' along with unprofessional 'late-night gaming
sessions'.
31 minutes ago
0 comments:
Post a Comment