GEITA GOLD YAANZA VYEMA LIGI KUU, YAICHAPA IHEFU 1-0
BAO pekee la Elias Maguri dakika ya tano limetosha kuipa Geita Gold ushindi wa 1-0 dhidi ya wenyeji, Ihefu SC katika mchezo wa ufunguzi wa Ligi Kuu ya NBC Tanzania Bara leo Uwanja wa Highland Estate, Mbarali mkoani Mbeya.
0 comments:
Post a Comment