KLABU ya Yanga imeingia makubaliano na kituo cha kukuza vipaji cha Moro Kids kilichopo Morogoro juu ya kujenga uwezo kitaaluma, vifaa vya michezo, uwezeshaji wa kiuchumi, kubadilishana uzoefu na utafutaji wa masoko kwa wachezaji wanaozalishwa katika kituo.
0 comments:
Post a Comment