SIMBA SC KUWEKA KAMBI MISRI KUJIANDAA NA MSIMU MPYA
KIKOSI cha Simba kinatarajiwa kuondoka nchini mapema Julai kwenda kuweka kambi katika Jiji la Ismailia nchini Misri kujiandaa na msimu mpya wa Ligi Kuu na Kombe la Shirikisho Afrika. VIDEO: AHMED ALLY – AFISA HABARI SIMBA AKIZUNGUMZA
0 comments:
Post a Comment