• HABARI MPYA

    Saturday, June 02, 2012

    WELBECK AING'ARISHA ENGLAND

    Young and Welbeck

    MSHAMBULIAJI wa Manchester United, Danny Welbeck ameifungia bao lake la kwanza timu ya taifa ya England, wakati kikosi hicho cha Roy Hodgson kikiibuka na ushindi wa 1-0 dhidi ya Ubelgiji katika mchezo wa kirafiki wa kujiandaa na Euro 2012 kwenye Uwanja wa Wembley.

    Mshambuliaji huyo mwenye umri wa miaka 21, amejiwekea mazingira ya kuanzishwa kwenye mechi ya kwanza ya Euro dhidi ya Ufaransa Jumatatu kwa bao lake hilo tamu kipindi cha kwanza. 
    • Blogger Comments
    • Facebook Comments

    0 comments:

    Item Reviewed: WELBECK AING'ARISHA ENGLAND Rating: 5 Reviewed By: Mahmoud Bin Zubeiry
    Scroll to Top