MABAO ya Mamadou Sakho na Karim Benzema yameipa Ufaransa tiketi ya kucheza Kombe la Dunia baada ya kushinda 3-0 dhidi ya Ukraine jana. Ufaransa sasa imefuzu kwa ushindi wa jumla wa 3-2, baada ya awali kufungwa 2-0 ugenini.
Katika mechi hiyo ambayo Franck Ribery alikuwa nyota wa mchezo, Sakho alifunga dakika ya 22 na Benzema akafunga dakika ya 34 wakati lingine Gusev alijifunga dakika ya 72.
Ufaransa: Lloris 6, Debuchy 6 (Sagna 78), Evra 6, Varane 5, Sakho 7, Cabaye 7, Matuidi 7, Valbuena 6, Pogba 7, Ribery 8, Benzema 7 (Giroud 82). Subs not used: Landreau, Giroud, Nasri, Clichy, Grenier, Mandanda, Payet, Sissoko, Remy, Mavuba, Abidal.
Ukraine: Pyatov 7, Shevchuk 5, Khacheridi 4, Mandzyuk 5, Rakitskiy 6, Yarmolenko 6, Konoplyanka 6, Rotan 6, Bezus 5 (Gusev 64, 4), Edmar 5, Zozulya 5 (Seleznov 76). Subs not used: Khudzamov, Dedechko, Tymoschuk, Khomchenovskiy, Stepanenko, Seleznyov, Fedorchuk, Morozyuk, Sydorchuk, Devic.
Joy: Sakho wheels away after forcing Gusev to fire the ball past Andriy Pyatov into his own net
Jumping for joy: France celebrate Gusev's own goal - and a place in the World Cup finals
Magnifique: Benzema wheels away after firing France level on aggregate
Centre of attention: Benzema (centre) celebrates with team-mates Paul Pogba (left) and Blaise Matuidi after firing France level
Sensational start: Liverpool defender Sakho bundled home from close-range to give France an early lead, energising the crowd at the Stade de France
No mistake: Sakho reacts quickest to a loose ball, blasting home from a tight angle to get France back in the tie
Whipping up the crown: A French supporter gets the crowd in the mood at the Stade de France
0 comments:
Post a Comment