• HABARI MPYA

    Friday, March 20, 2015

    EVERTON NAYO NJE MICHUANO YA ULAYA

    A disconsolate Everton attempt to come to terms with the glut of goals they conceded, but were made to play for defensive errors
    Wachezaji wa Everton wakiwa hoi jana Uwanja wa NSK Olimpiyskiy mjini Kiev, baada ya kufungwa mabao 5-2 na wenheji Dynamo Kiev katika mchezo wa marudiano hatua ya 16 Bora Europa League hivyo kutolewa kwa jumla ya mabao 6-4, baada ya awali kushinda 2-1 nyumbani. 

    PICHA ZAIDI NENDA: http://www.dailymail.co.uk/sport/football/article-3003070/Dynamo-Kiev-5-2-Everton-agg-6-4-Andriy-Yarmolenko-sets-tone-Toffees-chewed-crash-Europe.html#ixzz3UsTkewyT 

    • Blogger Comments
    • Facebook Comments

    0 comments:

    Item Reviewed: EVERTON NAYO NJE MICHUANO YA ULAYA Rating: 5 Reviewed By: Mahmoud Bin Zubeiry
    Scroll to Top