![]()  | 
| Bondia Mohammed Matumla (kushoto) akimsukumia konde mpinzani wake, Wang Xin Hua katika pambano la uzito wa Super Bantam jana ukumbi wa Diamond Jubilee, Dar es Salaam. Matumla alishinda kwa pointi. | 
![]()  | 
| Matumla Jr akimuadhibu Mchina | 
![]()  | 
| Mohammed Matumla alimzidi mpinzani wake jana | 
![]()  | 
| Mohammed Matumla aliwapa faraja Watanzania jana | 
![]()  | 
| Bondia Mchina jana alikutana na shughuli pevu ulingoni | 
![]()  | 
| Mchina alipigwa aina zote za ngumi jana na Matumla, lakini alikuwa mbishi kukaa tu | 








.png)
0 comments:
Post a Comment