• HABARI MPYA

    Sunday, May 17, 2015

    SIMBA SC WATUA COSAFA KUSAKA VIPAJI

    Mkuu wa Idara ya Habari na Mawasiliano ya Simba SC, Hajji Sunday Manara 'Zungu' kulia akiwa na Mkuu wa Idara ya Habari na Mawasiliano ya Shirikisho la Soka Tanzania (TFF), Baraka Kizuguto leo mjini Rustenburg, Afrika Kusini. Marana amesema kwamba amekuja Afrika Kusini kuangalia vipaji kwenye michuano ya Kombe la COSAFA iliyoanza leo mjini hapa.
    • Blogger Comments
    • Facebook Comments

    0 comments:

    Item Reviewed: SIMBA SC WATUA COSAFA KUSAKA VIPAJI Rating: 5 Reviewed By: Mahmoud Bin Zubeiry
    Scroll to Top