Nahodha wa Real Madrid, Sergio Ramos (kushoto) akiwa ameshika Kombe la Santiago Bernabeu kwa pamoja na mchezaji mwenzake, Marcelo Uwanja wa Santiago Bernabeu jana baada ya kuifunga 2-1 Galatasraay ya Uturuki. Mabao ya Real yalifungwa na Nacho dakika ya 17 na Marcelo dakika ya 81, wakati bao pekee la wageni lilifungwa na Wesley Sneidjer dakika ya 52 PICHA ZAIDI GONGA HAPA
NBA Finals set for Game 7 as Indiana Pacers blow Oklahoma City Thunder away
to level the series
-
The NBA Finals will have a nerve-shredding conclusion on Sunday after the
Indiana Pacers dominated the Oklahoma City Thunder on Thursday night to
level the...
1 hour ago
0 comments:
Post a Comment