Nahodha wa Real Madrid, Sergio Ramos (kushoto) akiwa ameshika Kombe la Santiago Bernabeu kwa pamoja na mchezaji mwenzake, Marcelo Uwanja wa Santiago Bernabeu jana baada ya kuifunga 2-1 Galatasraay ya Uturuki. Mabao ya Real yalifungwa na Nacho dakika ya 17 na Marcelo dakika ya 81, wakati bao pekee la wageni lilifungwa na Wesley Sneidjer dakika ya 52 PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Why memorial round for cricketer Ben Austin was suddenly postponed - after
moving tribute at scene of the tragedy
-
The planned memorial round for cricketer Ben Austin in Melbourne has been
postponed. It comes after the teenager was struck in the neck before a T20
game a...
49 minutes ago



.png)
0 comments:
Post a Comment