Kipa wa Chelsea, Asmir Begovic akiruka bila mafanikio kuzuia mpira wa kichwa wa Andy Carroll, uliopa bao la ushindi West Ham nyumbani dakika ya 79 Uwanja wa Upton Park katika mchezo wa Ligi Kuu ya England jioni ya leo. West Ham maarufu 'Wagonga Nyundo' wameshinda 2-1, bao lao lingine likifungwa na Mauro Zarate dakika ya 17, huku la Chelsea iliyompoteza Nemanja Matic aliyeonyeshwa kadi ya pili ya njano dakika ya 44 Gary Cahill dakika ya 56. Makocha Jose Mourinho wa Chelsea na Silvino Louro pia walitolewa uwanjani PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Bruno Fernandes and Iliman Ndiaye come to blows in fiery clash as Everton
hold Man United to 2-2 draw in Atlanta
-
The flashpoint occurred just before Everton's second equaliser. Fernandes
slid in from behind on Ndiaye near the halfway line, prompting an angry
reaction ...
1 hour ago
0 comments:
Post a Comment