Mshambuliaji wa Barcelona, Neymar amekuwa mchezaji mwingine wa timu hiyo kufunga mabao manne katika mechi moja baada ya Messi, tangu Mcameroon Samuel Eto'o alipofanya hivyo mwaka 2008. Neymar alifunga mabao mawili kwa penalti jana kati ya manne katika mchezo wa La Liga, wakati bao lingine la Barca lilifungwa na Luis Suarez, Barcelona ikishinda 5-2 dhidi ya Rayo Vallecano. PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Move aside, Luiz and Lehmann! Introducing football's glamorous new POWER
couple who sparked up a romance at the same Premier League club
-
For a long time Alisha Lehmann and Douglas Luiz represented football's most
prominent power couple - but their break up has paved the way for another
duo t...
17 minutes ago



.png)
0 comments:
Post a Comment