Mshambuliaji wa kimataifa wa Poland, Robert Lewandowski akipiga kichwa mbele ya mabeki wa Cologne kuifungia Bayern Munich bao la tatu katika ushindi wa 4-0 jioni ya leo Uwanja wa Allianz Arena katika mchezo wa Bundesliga. Mabao mengine ya Bayern Munich yamefungwa na Arjen Robben, Arturo Vidal na Thomas Muller kwa penalti. Ushindi huo wa 1,000 kwa The Bavarians tangu kuanzishwa kwa Bundesliga, unaifanya Bayern iwe timu ya kwanza kushinda mechi 10 mfululizo za ligi hiyo kihistoria. PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Namewee to be remanded over Taiwanese influencer Iris Hsieh’s death; Taiwan
seizes US$150m, detains 25 in Prince Group scam probe: SIngapore live news
-
Namewee wanted in Taiwan influencer Iris Hsieh’s death reclassified murder.
Taiwan seizes US$150 million Prince Group assets, 25 held in scam probe
tied to...
21 minutes ago



.png)
0 comments:
Post a Comment