Bondia Deontay Wilder (kushoto) akimchapa konde Mmarekani mwenzake, Chris Arreola katika pambano lao la uzito wa juu usiku wa kuamkia leo ukumbi wa Legacy Arena mjini Alabama, Marekani. Wilder alishinda kwa Technical Knockout (TKO) raundi ya nane baada ya mpinzani wake kujiuzulu na kutetea taji lake la WBC uzito wa juu. Hata hivyo, Wilder alivunjika mkono katika pambano hilo, hivyo uwezekano wa kurudi ulingoni haraka kwa ajili ya pambano ama na Anthony Joshua au Tyson Fury ni mdogo sasa PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Paul Ince is arrested and charged with drink driving after former Man
United and England star crashed into a central reservation
-
EXCLUSIVE BY MIKE KEEGAN: The 57-year-old former England captain was
arrested after a black Range Rover smashed into a central reservation in
Cheshire near...
1 hour ago
0 comments:
Post a Comment