Winga Julian Green (kushoto) akikimbia kushangilia baada ya kuifungia hat-trick Bayern Munich katika ushindi wa 4-1 dhidi ya Inter Milan mjini Charlotte, North Carolina, Marekani katika mchezo wa Kombe la Mabingwa wa Kimataifa. Bao lingine la Bayern Munich lilifungwa na Franck Ribery, wakati Mauro Icardi aliifungia Inter Milan bao la kufutia machozi PICHA ZAIDI GONGA HAPA
CCTV appeal after man stabbed in suspected robbery
-
A 40-year-old man was seriously injured and taken to hospital following the
attack on Thursday night.
19 minutes ago



.png)
0 comments:
Post a Comment