Mshambuliaji wa Chelsea, Victor Moses akitafuta maarifa ya kupasua katikati ya wachezaji wa Liverpool katika mchezo wa Kombe la Mabingwa wa Kimataifa mjini Pasadena, California, Marekani. Chelsea ilishinda 1-0, bao pekee la Gary Cahill aliyemalizia kona ya Cesc Fabregas, ambaye baadaye alitolewa kwa kwa kadi nyekundu kwa kumchezea rafu Ragnar Klavan kipindi cha pili. Na Roberto Firmino aliifungia bao Liverpool, ambalo lilikataliwa kwa sababu alikuwa ameotea PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Vietnam, US, hold negotiations on new trade deal, ministry says
-
HANOI (Reuters) -Vietnam and the United States held an online round of
negotiations on a new trade deal on Thursday night, the Ministry of
Industry and Tra...
17 minutes ago
0 comments:
Post a Comment