Mchezaji wa Arsenal, Alex Iwobi akimiliki mpira mbele ya Deme N'Diaye wa Lens ya Ligue 2 Ufaransa katika mchezo wa kirafiki usiku huu Uwanja wa Stade Bollaert-Delelis. Timu hizo zilitoka sare ta 1-1, Lens wakitangulia kwa bao la Mathias Autret dakika ya 38, kabla ya Alex Oxlade-Chamberlain kuisawazishia The Gunners dakika ya 81 PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Jude Bellingham is AGAIN caught in x-rated rant at an official - just days
after Thomas Tuchel admitted his own mother is REPULSED by Real Madrid
star's on-pitch behaviour
-
Bellingham shouted at the official amid an increased focus on his sometimes
brash behaviour after England boss Thomas Tuchel admitted his mother
sometimes ...
10 minutes ago
0 comments:
Post a Comment