Mchezaji wa Arsenal, Alex Iwobi akimiliki mpira mbele ya Deme N'Diaye wa Lens ya Ligue 2 Ufaransa katika mchezo wa kirafiki usiku huu Uwanja wa Stade Bollaert-Delelis. Timu hizo zilitoka sare ta 1-1, Lens wakitangulia kwa bao la Mathias Autret dakika ya 38, kabla ya Alex Oxlade-Chamberlain kuisawazishia The Gunners dakika ya 81 PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Rangers 'unsatisfied' with SFA explanation of Trusty decision as club hit
out at 'repeated inconsistencies' in major matches
-
Rangers last night slammed the SFA and the performance of referee Nick
Walsh in Sunday's Old Firm defeat to Hampden.
11 minutes ago



.png)
0 comments:
Post a Comment