Mchezaji wa Arsenal, Alex Iwobi akimiliki mpira mbele ya Deme N'Diaye wa Lens ya Ligue 2 Ufaransa katika mchezo wa kirafiki usiku huu Uwanja wa Stade Bollaert-Delelis. Timu hizo zilitoka sare ta 1-1, Lens wakitangulia kwa bao la Mathias Autret dakika ya 38, kabla ya Alex Oxlade-Chamberlain kuisawazishia The Gunners dakika ya 81 PICHA ZAIDI GONGA HAPA
ADC says House member Leke Abejide not suspended
-
From Emmanuel Adeyemi, Lokoja The African Democratic Congress, Kogi State
chapter, has said that the Member of the House of Representatives for Yagba
Fed...
51 minutes ago
0 comments:
Post a Comment