Mshambuliaji wa ASEC Mimosa ya Ivory Coast, Abou Dominique (kushoto) akimiliki mpira mbele ya beki wa Yanga SC, John Jacob Mwansasu katika mchezo wa Kundi B Ligi ya Mabingwa Afrika mwaka 1998 Uwanja wa Taifa (sasa Uhuru), Dar es Salaam. ASEC ilishinda 3-0 katika msimu ambao iliibuka bingwa wa michuano hiyo
Rangers 'unsatisfied' with SFA explanation of Trusty decision as club hit
out at 'repeated inconsistencies' in major matches
-
Rangers last night slammed the SFA and the performance of referee Nick
Walsh in Sunday's Old Firm defeat to Hampden.
19 minutes ago



.png)
0 comments:
Post a Comment