Nyota wa Leicester City, Riyad Mahrez akimtoka beki wa Celtic, Emilio Izaguirre katika mchezo wa Kombe la Kimataifa la Mabingwa leo Uwanja wa Parkhead mjini Glasgow, Scotland. Leicester ilishinda kwa penalti 6-5 baada ya sare ya 1-1 Riyad Mahrez akianza kuifungia Leicester kabla ya Eoghan O'Connell kuiswazishia Celtic. Katika penalti, Ciftci, Johansen, Allan, O'Connell, Christie waliifungia Celtic huku ya Forrest ikiokolewa na upande wa Leicester waliofunga ni Fuchs, Wasilewski, Drinkwater, Chilwell, Okazaki na Amartey PICHA ZAIDI GONGA HAPA
CCTV appeal after man stabbed in suspected robbery
-
A 40-year-old man was seriously injured and taken to hospital following the
attack on Thursday night.
16 minutes ago



.png)
0 comments:
Post a Comment