Mshambauliaji wa Manchester United, Memphis Depay akinyoosha mguu kuufikia mpira kwenye himaya ya beki wa Borussia Dortmund, Sokratis Papastathopoulos katika mchezo wa kirafiki wa kujiandaa na msimu mpya Uwanja wa Shanghai, China. Dortmund walishinda 4-1, mabao yao yakifungwa na Castro mawili dakika ya 19 na 86,Pierre-Emerick Aubameyang kwa penalti dakika ya 36 na Ousmane Dembele dakika ya 57, wakati la United lilifungwa na Henrikh Mkhitaryan dakika ya 59 PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Manchester City 2-0 Wydad AC: Phil Foden and Jeremy Doku on the scoresheet
as Pep Guardiola's side ease to victory despite Rico Lewis red card to
begin Club World Cup title defence
-
JACK GAUGHAN AT AT LINCOLN FINANCIAL FIELD: Pep Guardiola used a dinner on
the beach in Florida to impress on Manchester City's players that this is a
new ...
26 minutes ago
0 comments:
Post a Comment