Mshambauliaji wa Manchester United, Memphis Depay akinyoosha mguu kuufikia mpira kwenye himaya ya beki wa Borussia Dortmund, Sokratis Papastathopoulos katika mchezo wa kirafiki wa kujiandaa na msimu mpya Uwanja wa Shanghai, China. Dortmund walishinda 4-1, mabao yao yakifungwa na Castro mawili dakika ya 19 na 86,Pierre-Emerick Aubameyang kwa penalti dakika ya 36 na Ousmane Dembele dakika ya 57, wakati la United lilifungwa na Henrikh Mkhitaryan dakika ya 59 PICHA ZAIDI GONGA HAPA 
Cristiano Ronaldo opens up on how his daughters convinced him to propose to 
fiancee Georgina Rodriguez - with £1.5m ring - as he reveals details of 
'not romantic' proposal for the first time
                      -
                    
The superstar couple sent supporters wild back in August when they 
announced their engagement after some nine years together.
44 minutes ago



.png)
0 comments:
Post a Comment