Mdhamini wa Simba SC, Mohamed Dewji akihutubia maelfu ya wanachama na wapenzi wa klabu hiyo Uwanja wa Taifa (sasa Uhuru), Dar es Salaam mwaka 2003 baada ya klabu hiyo kuitoa Zamalek ya Misri na kufuzu hatua ya makundi ya Ligi ya Mabingwa Afrika. Kushoto ni mgeni Rasmi, Rais mstaafu wa awamu ya pili, Alhaj Ali Hassan Mwinyi
See the TV commercial that made a spooky prediction about the NSW Blues'
huge State of Origin problem
-
Footy fans were left shocked by a major NSW failing in the two-point loss
to the Maroons on Wednesday - but they'd been warned about it in a
commercial fea...
53 minutes ago
0 comments:
Post a Comment