Mshambuliaji wa kimataifa wa Burundi, Murutabose Mohamed 'Muruta' akiwa na jezi ya Mbeya City baada ya kusaini Mkataba wa miaka miwili akitokea Bujumbura City ya Bujumbura. Mchezaji huyo ameibukia akademi ya Lydia Ludic Bujumbura (LLB) na ameanza kuchezea timu za vijana za Burundi kuanzia U-17, U-20 na sasa U-23 akiwa tayari ameanza kuitwa timu ya wakubwa na amecheza mechi nne Int'hamba Murugamba
Yankees star Aaron Judge greets wife Samantha with a kiss after she
finishes New York City Marathon
-
Yankees star Aaron Judge was all smiles on Sunday as he congratulated his
wife Samantha on finishing the New York City Marathon.
29 minutes ago



.png)
0 comments:
Post a Comment